Walichokisema Madiwani 8 wa CUF waliohamia CCM Katibu Mkuu wa CCM Bashiru Ally akihutuia mkutano wa hadhara Tanga Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally, amewapokea Madiwani nane waliokuwa wa Chama Cha Wananchi (CUF). Read more about Walichokisema Madiwani 8 wa CUF waliohamia CCM