Amber Rutty ataka kuongea na Rais wa Marekani
Video Vixen na msanii Amber Rutty, amesema ameanza kujifunza lugha ya Kiingereza ili siku moja aje kuongea na Rais wa Marekani, Donald Trump, pamoja na kuwa na uwezo wa kuongea na mtu yeyote yule asiyejua Kiswahili.