Corona: Wagonjwa wapya 23 Zanzibar, 2 wafariki
Wizara ya Afya Zanzibar imetangaza ongezeko la wagonjwa 23 wa COVID-19, hivyo kufanya idadi ya wagonjwa kisiwani humo kufikia 58, kati yao wagonjwa 21 ni raia wa Tanzania, mmoja wa Ufaransa na mmoja wa Cuba.