Watumia mkojo wa Ng'ombe ili kuzuia Corona Picha ya Ng'ombe Baadhi ya wakazi wa Kaunti ya Turkana Kaskazini Magharibi nchini Kenya, wamelazimika kutumia mkojo wa Ng'ombe kama maji ili kuosha mikono yao kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa virusi vya Corona. Read more about Watumia mkojo wa Ng'ombe ili kuzuia Corona