Watumia mkojo wa Ng'ombe ili kuzuia Corona

Picha ya Ng'ombe

Baadhi ya wakazi wa Kaunti ya Turkana Kaskazini Magharibi nchini Kenya, wamelazimika kutumia mkojo wa Ng'ombe kama maji ili kuosha mikono yao kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa virusi vya Corona.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS