Waziri Mkuu awapongeza Ummy na Makonda
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amempongeza Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, kwa namna ambavyo ameamua kusimama na kupambana na ugonjwa wa Corona, na kumpongeza pia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kwa jinsi ambavyo alivyoamua kuwazuia watu kutoka mikoani kuja jijini humo ikiwa