M 2 The P amtaja mrithi wa Mangwea

Kushoto kwenye picha ni M 2 The P, kulia ni marehemu Albert Mangwea

Rafiki wa karibu wa aliyekuwa mkali wa HipHop na freestyle Bongo Albert Mangwea, M 2 The P amewataja wasanii Country Boy na Jordan kama ndiyo wanafuata nyayo za Ngwea ambaye alifariki Mei 28,2013.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS