Waamuzi sasa kuchezesha ligi bila 'stress'

Mwamuzi wa VPL na kocha wa Yanga, Luc Eymael

Kuelekea kurejea kwa Ligi Kuu Tanzania bara Juni 13, Bodi ya Ligi Tanzania TPBL imesema imeshawalipa waamuzi wote kwa kushirikiana na TFF na kwamba haina deni lolote hivi sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS