Waamuzi sasa kuchezesha ligi bila 'stress' Mwamuzi wa VPL na kocha wa Yanga, Luc Eymael Kuelekea kurejea kwa Ligi Kuu Tanzania bara Juni 13, Bodi ya Ligi Tanzania TPBL imesema imeshawalipa waamuzi wote kwa kushirikiana na TFF na kwamba haina deni lolote hivi sasa. Read more about Waamuzi sasa kuchezesha ligi bila 'stress'