Alichosema IGP Sirro kuhusu uchaguzi Mkuu 2020

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, anaendelea na ziara katika mikoa yote nchini kwa lengo la kukagua na kuona maandalizi ya Jeshi la Polisi pamoja na kamati za Ulinzi na Usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS