Alichosema IGP Sirro kuhusu uchaguzi Mkuu 2020
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, anaendelea na ziara katika mikoa yote nchini kwa lengo la kukagua na kuona maandalizi ya Jeshi la Polisi pamoja na kamati za Ulinzi na Usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba mwaka huu.

