Hospitali yatoa maagizo, Barakoa zilizotumika

Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando.

Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando iliyopo mkoani Mwanza, imeagiza kuwa mtu yeyote, awe mgonjwa ama ndugu wa mgonjwa atakayefika kwenye Hospitali hiyo atagawiwa Barakoa getini na kwamba atatakiwa kuirejesha getini kabla hajatoka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS