Ndugai adai Mbowe anaamrisha wenzake kama watoto

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe.

Spika wa Bunge Job Ndugai, amesema kuwa kauli ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, haimbabaishi na chochote kwa kuwa kila jambo lao wanaweka upinzani na Wabunge ni timu moja na yeye ameamrisha timu yake tu bila kushirikisha wenzake, hivyo Wabunge wa CCM watabaki  na kuendeshesha Bunge.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS