Diwani akamatwa kwa rushwa Kyela 

Makao makuu ya kupambana na rushwa Takukuru Mbeya

Taasisi  ya kuzuia na kupambana na rushwa Takukuru Mkoani Mbeya imethibisha kumkamata  Diwani wa Viti Maalum wilaya ya Kyela, Tumain Mwakatika kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya rushwa kinyume na sheria ya Takukuru namba 11 ya mwaka 2007.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS