CHADEMA wamjibu Spika, wahoji wakapime wapi

Spika Job Ndugai, na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa CHADEMA, John Mrema.

CHADEMA kimemjibu Spika Ndugai kwa kumuambia kuwa kama anataka Wabunge warudi Bungeni wakiwa wamepima, basi aseme anataka wakapime wapi kwa kuwa Serikali imepoteza imani na Maabara yake na inaichunguza, na kuongeza kuwa yeye ndiye Spika wa kwanza kulipa posho kwa Mbunge hewa Cecil Mwambe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS