Mipango ya Ndayiragije kwenye michuano ya CHAN
Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania Etienne Ndayiragije amesema amepokea kwa furaha taarifa ya Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), kupanga michuano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) ifanyike Januari 2021 nchini Cameroon.

