Morrison alidanganya ,asingecheza bila mkataba.

Winga wa Yanga Benard Morrison(pichani)akishashangilia katika moja ya mchezo wa ligi kuu Tanzania bara.

Kamati ya katiba,sheria na hadhi za wachezaji ya TFF imesema kwamba hakuna mchezaji aliyeruhusiwa kucheza ligi bila ya kuwa na mkataba,hivyo kauli ya Benard Morrison kuwa alicheza mechi mbili mbila mkataba ni uongo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS