Nahodha wa Lipuli aomba radhi na kurejea kikosini.

Nahodha na mshambuliaji wa Lipuli, Paul Nonga (Pichani), akiwa mazoezini katika uwanja wa Samora mkoani Iringa.

Nahodha na mshambuliaji wa klabu ya Lipuli ya mkoani Iringa, Paul Nonga ameomba radhi kwa uongozi wa klabu hiyo na sasa amerejeshwa katika kikosi cha wanapaluhengo hao ambacho kimeanza harakari za kujikwamua na janga la kushuka daraja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS