Kenya wavumbua mfumo wa kurahisha kupima Corona
Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Serikali cha Meru nchini Kenya, kimevumbua mfumo wa kidigitali unaofahamika kama 'CovIdent' utakaotoa alama za data binafsi kwa lengo la kurahisisha upimaji wa virusi vya corona kwa watu wengi.