Kenya wavumbua mfumo wa kurahisha kupima Corona

Baadhi ya washiriki wa uvumbuzi wa mfumo wa 'CovIdent' kutoka Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Serikali cha Meru nchini Kenya.

Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Serikali cha Meru nchini Kenya, kimevumbua mfumo wa kidigitali unaofahamika kama 'CovIdent' utakaotoa alama za data binafsi kwa lengo la kurahisisha upimaji wa virusi vya corona kwa watu wengi. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS