Kasesela atangaza kupambana na Halima Mdee
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Richard Kasesela amesema kuwa tarehe 14, atachukua fomu kwa ajili ya kutia nia ya kuwania nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Kawe kwa kuwa anayo nguvu kubwa katika jimbo hilo na kumng'oa rasmi Halima Mdee.