Kasesela atangaza kupambana na Halima Mdee

Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Richard Kasesela na kulia ni Mbunge wa Kawe Halima Mdee.

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Richard Kasesela amesema kuwa tarehe 14, atachukua fomu kwa ajili ya kutia nia ya kuwania nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Kawe kwa kuwa anayo nguvu kubwa katika jimbo hilo na kumng'oa rasmi Halima Mdee.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS