Young Killer afunguka kutomsaidia Baba yake

Msanii wa HipHop Young Killer

Msanii wa HipHop hapa nchini Tanzania Young Killer, amenyoosha maelezo juu ya madai ya kutomsaidia Baba yake pia amefunguka kuhusu kupata mtoto wa kike mwishoni mwa mwaka 2019.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS