Fahamu wanachama wa CCM waliomdhamini Magufuli

Rais Magufuli akipokea baadhi ya fomu za udhamini.

Ikiwa leo Juni 30, 2020 ni siku ya mwisho kwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi waliochukua fomu ya kuwania kuteuliwa kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho, Rais Magufuli amerejesha fomu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS