Kagere afichua siri ya kufunga mabao mengi VPL
Kinara wa mabao katika ligi kuu Tanzania bara Meddie Kagere amesema kilichosababisha kufika katika nafasi hiyo ni kutokana na ushirikiano wake pamoja na wachezaji wanzake kwa kujituma na kuungana kwa pamoja katika kitafuta ushindi.

