Kagere afichua siri ya kufunga mabao mengi VPL

Meddie Kagere kinara wa mabao VPL

Kinara wa mabao katika ligi kuu Tanzania bara Meddie Kagere amesema kilichosababisha kufika katika nafasi hiyo ni kutokana na ushirikiano wake pamoja na wachezaji wanzake kwa kujituma na kuungana kwa pamoja katika kitafuta ushindi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS