Rais Magufuli awashukuru waliomchangia laki moja

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amewashukuru wazee wa Nachingwea kwa mchango wao wa sh. 100,000 walioutoa ili umsaidie katika kipindi hiki cha uchaguzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS