Rais Magufuli atuma salamu kwa waziri wa ujenzi
Rais Dkt. John Magufuli amerejea leo Jijini Dar es Salaam akitokea Mtwara baada ya jana kuongoza mazishi ya rais mstaafu wa awamu ya tatu Hayati Benjamin William Mkapa, ambapo akiwa njiani ametoa maagizo kwa Waziri wa Ujenzi kuhakikisha barabara ya Lindi inajengwa katika maeneo yote yaliyo

