Kwanini Pep kamuacha Koulibaly kamchukua Ake?

Mlinzi wa kati Nathan Ake akiwashukuru mashabiki wa AFC Bornemouth ambayo imeporomoka daraja katika EPL, na sasa atajiunga na Manchester City.

Klabu ya AFC Bornemouth imekubali kupokea kitita cha pauni milioni 41 kutoka Manchester City ili imruhusu beki wake Nathan Ake kujiunga na mabingwa hao wa zamani wa ligi kuu ya England.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS