Adakwa kwa kutengeneza vitambulisho feki
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Mara, inamshikilia mgombea wa nafasi ya Ubunge wa Viti Maalumu, mkoani humo kutoka CCM kwa kutengeneza vitambulisho vya wajumbe feki zaidi ya 40, kwa lengo la kujipatia kura visivyo halali maarufu kama kura za maruhani.

