Hatima ya Ten Hag United kujulikana leo

Ten Hag amejiunga United 2022 na kuiongoza timu hiyo kutwa kombe la ligi 2023, FA 2024 kocha huyo raia wa Uholanzi alisaini mkataba wa kubaki kwa Mashetani Wekundu kwa mwaka mmoja zaidi mwezi Juni 2024

Kocha wa Manchester United hatima yake katika kikosi cha Mashetani Wekundu kujulikana leo baada ya kikao cha zaidi ya masaa mawili walichokaa Mabosi wa United siku ya jana Oktoba 7/ 2024 kujadili muenendo wa timu hiyo ambayo haijapata matokeo ya ushindi katika michezo mitano mfululizo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS