Liverpool wana 59.3% kuwa mabingwa EPL

Kikosi cha Liverpool msimu 2024-25 kinapewa nafasi ya kuwa mabingwa wa Ligi kuu Uingereza EPL msimu huu.

Klabu ya Liverpool imepewa asilimia 59.3% kuwa mabingwa wa Ligi kuu soka nchini Uingereza EPL baada ya kushinda michezo 9 kati ya 11 iliyochezwa mpaka sasa. Majogoo ndio vinara wa Ligi wanaongoza kwa tofauti ya alama 5 dhidi ya mabingwa watetezi Manchester City.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS