Abdihamid Moalin kuibukia Yanga SC?

Moalin alijiunga na KMC FC kutokea Azam FC alikofukuzwa kazi Augosti 29 2022.Raia huyo wa Marekani alitoa sababu tano zilizomfanya kuondoka KMC FC ikiwa bado mapema mzunguko wa kwanza wa ligi kuu Tanzania bara kutokana na kushindwa kuvumilia mazingira ya kazi kwenye kikosi hiko.

Kocha aliyeondoka kikosi cha mpira wa miguu kinachomilikiwa na Halmashauri ya Manispaa Wilaya ya  Kindoni Abdihamid Moalin kwa mujibu wa taarifa zisizo rasmi inasemekana akaibukia kwenye timu ya Yanga SC yenye makao yake makuu mtaa wa Twiga na Jangwani Karikaoo Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS