
msanii wa muziki wa bongofleva Real Jofu
Msanii ambaye hivi sasa anaendelea kufanya vyema baada ya kushirikiana na diva ambaye ana uwakilisha mkoa wa Mbeya mwanadada Ney Lee katika wimbo wake uitwao 'Kumbe ni ndugu' Real Jofu ameelezea huu ni wakati kwa vijana wenzake kuwa Tanzania inataka mabadiliko na inampasa kijana kufanya chaguo sahihi kwa kupiga kura.
