
Hii ni siku ya kutambua mchango wa wanawake katika kila nyanja ya maisha, kutoka kwa viongozi wa kisiasa, wanajamii, wataalamu wa sayansi, na kila Mwanamke anayechangia maendeleo ya familia yake. Wanawake ni nguvu inayosukuma dunia mbele na tunawashukuru kwa juhudi zao zisizo na kikomo.
Tunaendelea kusimama pamoja, tukiwathamini na kuwaheshimu wanawake kila siku.