Friday , 7th Mar , 2025

amesema United  haitampa muda ambao Mikel Arteta alipewa kuibadilisha Arsenal.

Ruben Amorim - Kocha mkuu wa Manchester United

Arteta alichukua nafasi ya Unai Emery katika kikosi cha Arsenal  Disemba 2019 akiibalisha  timu hiyo na kuwa timu shindani nchini England akishinda Kombe la FA 2020 katika msimu wake wa kwanza  na likisalia kuwa kombe pekee kulibeba ndani ya klabu hiyo.

"Ninahisi kwamba Arsenal ni klabu tofauti kwa namna ilivyompokea na kumvumilia hadi sasa ni miongoni mwa timu tishio hapa nchini na  Ulaya, yaani unaona anaungwa mkono na wadau wote” Amorim