Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi wataka ushirikiano na Idara ya Uhamiaji

Friday , 26th Apr , 2024

Wananchi wameomba Idara ya Uhamiaji kuongeza ushirikiano katika ngazi za mitaa ili kusaidia kwenye udhibiti wa wahamiaji haramu na watu wanaosafirishwa kimagendo nchini.

Mrakibu Paul Mselle

Wakizungumza na EATV baadhi ya wananchi wanaeleza kuwa wakati mitaani yapo mengi wanayoyaona lakini bado wamekuwa na wakihangaika kuzifikia mamlaka zinazotakiwa kuchukua hatua.

"Tunayaona mengi mtaani, Uhamiaji waje mitaani huku wafuatilie vizuri wapo wahamiji haramu mitaani" amesema Mwamfupe

Kwa upande wa Idara ya Uhamiaji Tanzania wameeleza kuwa wataendelea kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi katika kuwadhibiti wahamiaji haramu na wasafirishwaji kimagendo, huku wakiahidi kuendelea kutoa elimu zaidi kwa jamii ili kuongeza ushirikiano zaidi.

"Tutaendelea kushirikiana na wananchi na baadhi wameshakuwa na uelewa mkubwa kuhusu makosa ya kushiriki kwenye uhamiaji haramu" amesema Mrakibu Paul Mselle 

Aidha Mrakibu Mselle anabainisha kuwa wengi wanaokamatwa nchini wakisafirishwa kimagende wamekuwa wakielekea kusini mwa Afrika huku sababu za kukimbia nchi zao zikiwa ni ugumu wa maisha.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali