
Clippers ilimuongeza MVP wa msimu wa 2017-18 James Harden Novemba 01, 2023 na tayari walikuwa na MVP wa 2016-17 Russell Westbrook, MVP wa fainali mbili 2014 na 2019 Kawhi Leonard ambao kwasasa wapo kwenye ubora wa hali ya juu pamoja na nyota Paul George.