Clippers ilimuongeza MVP wa msimu wa 2017-18 James Harden Novemba 01, 2023 na tayari walikuwa na MVP wa 2016-17 Russell Westbrook, MVP wa fainali mbili 2014 na 2019 Kawhi Leonard ambao kwasasa wapo kwenye ubora wa hali ya juu pamoja na nyota Paul George.
Wednesday , 7th Feb , 2024
Timu ya kikapu NBA yenye nyota wenye tuzo za U-MVP tatu laclippers ipo kwenye nafasi ya juu katika timu zinazopewa nafasi ya kutwaa ubingwa wa ligi hiyo kutokana na matokeo yao ndani ya miezi miwili mfululizo.