Thursday , 11th Jan , 2024

Rais Samia amemteua Musa Kuji kuwa Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi Tanzania (TANAPA) ambapo awali alikuwa akikaimu nafasi hiyo.

Rais Samia

Aidha Rais Samia pia amemteua Dkt Athuman Kihamiakuwa Mtendaji Mkuu wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) na amechukua nafasi ya Edwin Mhede ambaye uteuzi wake umetenguliwa na atapangiwa kazi nyingine.