
Rais Samia
Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zuhura Yunus, ambapo pia Rais Samia amemhamisha Zahara Michuzi kutoka Halmashauri ya Mji wa Geita kwenda kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara
Aidha Rais wa Tanzania, Dtk. Samia Suluhu Hassan amemteua Michael Kachoma kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega akichukua nafasi nafasi ya Veronica Vicent Sayore ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
Hii hapa orodha ya walioteuliwa, kutenguliwa na kuhamishwa.