
Dawa zilizokamatwa
Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Sri Lanka, vimeeleza kuwa mtu huyo pia ni mfanyabiashara wa magari na alikuwa amewasili nchini humo akitokea Ethiopia kupitia Qatar.
Madawa hayo yalinaswa na kitengo cha kudhibiti dawa za kulevya baada ya kubaini kete za madawa hayo zikiwa zimefichwa kwenye makopo ya biskuti.