Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumane Muliro
Tukio hilo limetokea jana Julai 20, 2023, majira ya saa 11 alfajiri baada ya mwalimu huyo kuwaamsha wanafunzi kwa ajili ya ibada ya asubuhi na kwamba mtuhumiwa alikaidi na baada ya wenzake kuondoka alimchoma kisu mwalimu huyo.
Kamanda wa Polisi wa kanda hiyo Jumanne Muliro amesema Mwalimu huyo alipoteza maisha ambaye alipoteza maisha wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Mwananyamala na mwanafunzi huyo atafikishwa mahakamani haraka iwekenavyo.