Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wavuvi Msasani waomba uvuvi haramu udhibitiwe.

Monday , 10th Apr , 2023

Wavuvi katika soko la samaki msasani wamesema kuna kikundi cha watu wakika na mitumbwi mitatu wanakutana nacho baharini kikifanya shughuli za uvuvi haramu wa kutumia mabomu na baruti na kwamba tayari wamekuwa wakitoa taarifa huu ukiwa ni mwezi bila hatua zozote kuchukuliwa.

EATV imetembelea katika soko la samaki msasani kujua hali ya upatikanaji samaki ilivyo nakuzungumza na wavuvi ambao wameelezea kilio cha kukosekana kwa samaki kikielekezwa kusababishwa na wavuvi waliotajwa kutumia mabomu na baruti kisha kuuzwa samaki hao usiku eneo la mikindi,feri na kigamboni.

Wavuvi hao wamesema endapo serikali itaamua kuwadhibiti wavuvi hao wa mabomu wao wako tayari kwenda kuwaoneshaa eneo wanalovua samaki hao.

Hata hivyo uongozi wa soko hilo umekiri kuzipata taarifa hizo kutoka kwa wavuvi wanaoingia baharini na kuomba serikali kuchukua hatua zaidi kwa kuwa wao wanalipa leseni na tozo zote stahiki hivyo uwepo wa wavuvi haramu ni hatari kwa soko la samaki.

Baadhi ya wavuvi wamemlilia waziri husika wa uvuvi na mifugo wakimuomba kufanya doria maalum kwa kuwa kurejea kwa uvuvi wa mabomu kunafifisha jitihada za serikali kuinua uchumi wa Bluu.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine