Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Taka za Vifaa vya kielektroniki kuteketezwa

Monday , 20th Mar , 2023

Serikali kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imesema imeanza mkakati wa kuandaa namna ya uteketezaji wa taka za vifaa vya kielektroniki ikiwa ni pamoja na simu na vifaa vingine kutokana na vifaa hivyo kutengenezwa kwa madini mengi ambayo ni sumu kwenye mazingira 

Rai hiyo imetolewa na Waziri wa Habari Nape Nnauye ambaye amesema Takwimu za  taka sumu zitokanazo na vifaa vya mawasiliano kama  simu, vifaa vya kiteknolojia  ukanda wa Afrika mashariki zinazidi kuongezeka ambapo taka hizo zinaweza kutumika pia kama fursa kutokana na madini yaliyomo.

Hata hivyo Katibu Mkuu wa Taasisi ya mawasiliano ya Afrika mashariki taka za kielektroniki zinakuwa kwa kasi ambapo kwa Tanzania taka hizi hufikia hadi tani elfu 19 kwa Mwaka kuliko taka zingine na kwamba endapo utaratibu utawekwa mzuri taka hizi ni fursa kutokana na wingi wa madini yaliyomo.

Utaratibu wa uzalishaji na udhibiti wa taka hizi umekuwa ukitofautiana na nchi na nchi katika umoja huu wa nchi za Afrika mashariki ambapo kupitia mkutano huu wadau wamekutana kujadili mpango maalum wa udhibiti wa pamoja.

Kwa upande wa mamlaka ya mawasiliano nchini TCRA wamesema lengo kubwa kwa sasa ni kusambaza elimu kwa wadau wote wakiwemo wasimamizi wa mazingira,wananchi na watunga sera.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine