Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TEMESA yaziomba taasisi za umma kulipa madeni.

Sunday , 5th Feb , 2023

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) Lazaro Kilahala ametoa wito kwa Taasisi za Umma na Serikali zinazodaiwa na Wakala huo baada ya kupatiwa huduma za matengenezo ya magari, mitambo, huduma za ufundi, umeme na elektroniki, kuilipa TEMESA madeni inayowadai

Kilahala ametoa wito huo wakati akizungumza katika kikao cha Wadau wanaopatiwa huduma na TEMESA Mkoa wa Dodoma, kikao kilichofanyika jijini Dodoma ambapo kikihudhuriwa na maafisa wanaowakilisha Taasisi za Umma wakiwemo maafisa usafirishaji, maafisa kutokaSerikali kuu, Wizara mbalimbali, wawakilishi wa karakana teule zinazofanya kazi kwa pamoja na TEMESA pamoja na wazabuni wanaosambaza vipuri na vitendea kazimbalimbali kwa Wakala huo.

Mtendaji Mkuu amesema, anafahamu changamoto ambazo wanakutana nazo kwenye Taasisi na Wizara zao ikiwemo kutokutosha kwa mgawanyo wa fedha za maendeleo akiwataka kulipa uzito suala la kulipa madeni yao kwa TEMESA Kwani kutowalipa TEMESA kwa wakati kutasababisha ishindwe kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi kwa kukosa vipuri vya kuwatengenezea magari ya Taasisi zao na hivyo kurudisha nyuma maendeleo.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali