Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rose na Chuchu wasimamishwa kazi Uyui

Wednesday , 25th Jan , 2023

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Uyui mkoani Tabora amewasimamisha kazi Rose Shirima, aliyekutwa na tuhuma ya matumizi ya lugha isiyo na staha mahali pa kazi na James Chuchu aliyekutwa na tuhuma ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii na kuleta taharuki katika jamii.

Rose Shirima, Muuguzi Mkunga

Taarifa hiyo imetolewa hii leo Januari 25, 2023, kufuatia uchunguzi uliofanywa na Wizara ya Afya, Ofisi ya Rais TAMISEMI pamoja na Halmshauri ya wilaya ya Uyui mkoani Tabora, baada ya video kusambaa mitandaoni ikiwaonesha Rose Shirima ambaye ni Muuguzi Mkunga na Getogo James Chuchu ambaye ni Mteknolojia wa Maabara, wakibishana kuhusu vipimo vya malaria vilivyoisha muda wake

Aidha uchunguzi huo pia umebaini kuwa hakuna mgonjwa aliyepimwa malaria kwa kutumia vitendanishi vilivyoisha muda wake wa matumizi licha ya uwepo wa vitendanishi vilivyoisha muda wake wa matumizi tangu mwezi Agosti 2022 na kwamba zahanati hiyo ina vitendanishi ambavyo vitaisha muda wake Aprili na Desemba 2023.

Mbali na hayo uchunguzi pia umebaini kuwa kuna mahusiano yasiyoridhisha kwa baadhi ya wafanyakazi katika zahanati hiyo, usimamizi wa kituo usioridhisha na kwamba watumishi wanne wa zahanati hiyo wamekutwa na tuhuma za kujibu.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine