Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yaombwa kuwainua kiuchumi vijana

Friday , 6th Jan , 2023

Wafanyabiashara wa mawe ya urembo na nakshi za majengo maarufu kama Tanga stone wameiomba Serikali kuwawezesha kimitaji kwa kuwapatia tenda mbalimbali za ujenzi kwenye miradi ya kiserikali ili kupata fursa ya kukuza mitaji na kujiinua kiuchumi.

Kwa takribani miaka 25 kijana aliyejitambulisha kwa jina la Abbas Abdalah amekuwa akijihusisha na uuzaji wa mawe ya urembo ambayo huyafata jijini Tanga na kuyaleta hapa jijini Dar es Salaam kisha kuyauza kwa matumizi mbalimbali ameeleza changangamoto za kibiashara anazokutana nazo ikiwemo udogo wa mtaji licha ya kupata oda kubwa za wateja ambazo hana

Amesema licha ya Serikali kutoa mikopo kwa baadhi ya makundi ya vijana yeye amekuwa akichengana na fedha hizo na hajawahi kuzipata hivyo sasa kuomba serikali iwatambue vijana wenye uwezo na mawazo kupata sehemu kwenye miradi ya kisekta ili kuwakuza kibiashara.

Pamoja na ugumu anaopitia katika biashara zake wapo vijana ambao amekuwa akiwashirikisha pindi anapopata tenda kubwa za wateja hivyo kuwa sehemu ya kipato chao

Tanzania inatajwa kuwa na rasilimali nyingi za asili ikiwemo Mawe haya ambayo huchimbwa ardhini yakiwa na uwezo wakutumiwa katika majengo tofauti tofauti.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali