Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uhamiaji nchini wamrejesha Iran mratibu wa ugaidi

Tuesday , 6th Dec , 2022

Idara ya Uhamiaji nchini imemkamata na kumrudisha mara moja nchini kwao raia wa Iran aliyefahamika kwa jina la Hamidrrza Mohammad Abraheh, ambaye amekuwepo nchini kwa zaidi ya miezi sita akidaiwa kuratibu uhalifu wote wa kimataifa ikiwemo ugaidi

Kamishna Uhamiaji na Udhibiti wa Mipaka Samweli Miharane

Kamishna Uhamiaji na Udhibiti wa Mipaka Samweli Miharane, amesema mtu huyo alikuwepo nchini akitumia hati ya kusafiria inayomruhusu kuingia na kuishi nchini Tanzania kwa muda mrefu  inayofahamika kama Multiple Visa ambayo amekuwa akisaidiwa na baadhi ya Watanzania kupata nyaraka hizo za kuishi hapa nchini

Aidha Kamishna Miharane amesema katika kipindi cha kuanzia mwezi Januari hadi Novemba mwaka huu kumekuwepo na wimbi kubwa la kuingia kwa wahamiaji haramu hapa nchini ambapo wahamiaji 18,289 walikamatwa huku mikoa ya Pwani na Tanga ikiongoza kwa kuingia wahamiaji hao 

Katika hatua nyingine Kamishna Miharane amewataka Watanzania kuacha kuwasaidia wahamiaji haramu kwani kufanya hivyo ni kuhatarisha usalama wa nchi na watanzania kwa ujumla.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine