Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RC wa zamani wa Arusha ashinda uenyekiti wa CCM

Monday , 21st Nov , 2022

Idd Hassan Kimanta aliyewahi kushika nyafidha mbalimbali ikiwemo kuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha ametangazwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Katavi.

Idd Hassan Kimanta, Mwenyekiti mpya wa CCM mkoa wa Katavi

Msimamizi wa uchaguzi wa CCM Wazizi Kidamba amemtangaza Idd Hassan Kimanta kuwa Mwenyekiti mpya wa chama hicho  mkoa baada ya kupata kura 308 dhidi ya mpinzani wake Juma Said Kaombwe aliyepata kura 44.

Akitangaza matokeo hayo mara baada ya uchaguzi huo kumalizika uliofanyika leo Novemba 21, 2022, katika ukumbi wa madini Manispaa ya Mpanda Kidamba amesema idadi ya wajumbe ilikuwa 368 waliopiga kura ni 359 halali 352 zilizoharibika ni 7.

Nafasi ya Mjumbe wa halmashauri kuu CCM Taifa NEC Gilbert Jordan Sampa, ametetea kiti chake baada ya kupata kura 357 akimbwaga chini mgombea mwenza Buhura Chasama aliyepata kura 7 kati ya kura halali 364.

Viongozi hao baada ya kutangazwa wamesisitiza kuimarisha umoja na mshikamamo katika chama wakidai kuwa hawatasita kuwachukulia hatua wanachama watakaoleta  makundi yenye nia ovu.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine