Mkurugenzi wa Biashara na Masoko wa Vodacom Linda Riwa
Mkurugenzi wa Biashara na Masoko wa Vodacom Linda Riwa, amesema kupitia kampeni hiyo ambayo imekuja msimu wa mwisho wa mwaka wateja wa Vodacom watashinda zawadi za fedha taslimu sambamba na wateja wa kila siku kujishindia milioni moja kila mmoja na smart TV