Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Precision kuwalipa fidia wahanga wa ajali.

Monday , 14th Nov , 2022

Shirika la ndege la Precision Air kupitia kwa mkurugenzi wake Patrick Mwanri limesema hawajaongea ama kutoa taarifa zozote kwa muda kutokana na sheria za anga kwani kunataratibu zake mpaka pale uchunguzi utakapokamilika na wizara ndio inahusika na mamlaka husikaa kutoa taarifa za uchunguzi

Mkurugenzi huyo ametoa taarifa hiyo akiwataka wananchi kuendelea na utulivu mpaka uchunguzi utakapo kamilika akibainisha kuwa kila tukio linapotokea linaacha somo kwa wadau katika sekta akiwataka watu kuendelea kupata taarifa sahihi kutoka vyanzo sahihi.

Kuhusu suala la fidia kwa wahanga amesema shirika liko na bima na tayari taratibu za mawasiliano na wahanaga zinaendelea kuwajuza nini kinatakiwa ilikupata stahiki zao ikihusisha jumuiya ya kimataifa na inafanyika kwa faragha baina ya muhanga na kampuni

Hata hivyo ametumia fursa hiyo kuwashukuru watanzania serikali kuanzia kwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa namna walivyolipokea na kulishughulikia suala la ajali Na watahakikisha kila kitu kinaenda kwa utaratibu.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine