Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sera itengenezwe waliopata ujauzito kurudi shule

Thursday , 29th Sep , 2022

Wadau wa maendeleo ya jamii wameiomba serikali kuandaa sera na baadae sheria rasmi kuhusu wanafunzi waliopata ujauzito kuruhusiwa kurejea shuleni, ili kuepukana na mkanganyiko miaka ya ijayo.

Mwanafunzi mwenye ujauzito

Hayo yameelezwa wakati wa kongamano lililohusisha wanafunzi, wadau wa maendeleo ya jamii na mabinti wengine kutoka maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam, huku wakikiri kuwa bado elimu ya kutosha haijatolewa kwa jamii kuhusu namna binti anavyoweza kurejea shule baada ya kupata ujauzito.

Kwa upande wao wanafunzi wa kike, ambao ndio wahanga wa kubwa  wa mimba za utoto na ndoa za utotoni, wamebainisha kuwa hali ngumu ya maisha imekuwa kishawishi kikubwa kwa baadhi ya mabinti kupata ujauzito, huku wakiomba kuendelea kupewa elimu zaidi.

"Ni vyema serikali ikatengeneza sera ambayo baadaye itakuwa sheria, kwa wanafunzi waliopata ujauzito wakiwa masomoni, kupewa nafasi ya kurejea tena shule, japo bado elimu haijatolewa vya kutosha juu ya namna ya kurejea shule baada ya kupata ujauzito."-Amesema katibu mtendaji wa shirika la Voice of encouragement Tanzania

Nao viongozi wa dini wanatoa wito kwa jamii kuzingatia mafundisho ya dini zao, na kurejea kwenye maadili yetu ya Kitanzania na kuacha kuiga tamaduni za kigeni zinazosababisha kuongezeka kwa vitengo vilivyokinyume na maadili yetu.

"Watu wamekosa maadili siku hizi, hata mavazi wanayovaa pia yanachochea vitendo vya unyanyasaji kwa wasichana kuongezeka nchini."- Amesema Mchungaji Daudi Zacharia

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine