Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara soko la Magomeni wapangwa upya

Thursday , 15th Sep , 2022

Baada ya wafanyabiashara katika Soko la Kimataifa la Magomeni kukimbia vizimba na maduka yaliyopo sehemu za juu na kwenda kufanyia biashara chini, sasa wamerejea katika maeneo yao ya ghorofani baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kuunda kamati ya kuwapanga upya.

Vizimba soko la Magomeni

Wafanyabiashara katika sehemu za juu za jengo la soko la Magomeni waliteremka chini na kufanya biashara huko kwa kile kilichodaiwa kuwa wateja hawafiki juu ghorofani. Badhi ya wafanyabiashara hao wamedai kuwa hata sasa bado hali sokoni hapo siyo nzuri kibiashara.

 Wenyeji katika soko hilo wanasema kulikuwa na tabia ya mazoea ambayo wafanyabiashara walijijengea kwamba hauwezi kupata wateja kama upo juu na kwamba ndiyo imekuwa ikiwasumbua wafanyabiashara sokoni hapo. Alex Kobela ni mfanyabiashara sokoni hapo ambaye EA radio imefanikiwa kuzungumza nae juu ya hali ya biashara sokoni hapo.

“Kulikuwa na tabia ya mazoea ambayo wafanyabiashara walijijengea kwamba hauwezi kupata wateja kama upo juu na hii ndiyo imekuwa ikiwasumbua wafanyabiashara hapa. Hili soko limejengwa kwa viwango vya kimataifa na wafanyabiashara lazima wake kwenye maeneo yaliyopangwa kutegemea na anachokiuza. Kwahiyo pale chini walikuwa wanavunja utaratibu, hata hivyo Tunashukuru sasa hivi tumefanikiwa kuwarejesha tena kwenye maeneo wanayostahili kulingana na anachokiuza ili soko liwe na mpangilio.”- Formela Kanyika, Mhasibu wa Manispaa ya Kinondoni.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine