Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aweso awataka wakandarasi kuacha visingizio

Thursday , 4th Aug , 2022

Waziri wa Maji Jumaa Aweso, amewataka wakandarasi wanaojenga bwawa la kuhifadhia maji ya mvua katika Kata ya Masaka mkoani Iringa, kuhakikisha wanakamilisha mradi huo kwa wakati uiliopangwa,  ili kusaidia wananchi kuondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kutafuta huduma ya maji.

Waziri wa Maji Jumaa Aweso

Waziri Aweso amesema hayo mkoani Iringa katika ziara ya kutembelea bodi ya maji ya bonde la mto Rufiji, ambapo licha ya kuridhishwa na kasi ya ujenzi huo wa bwawa ambalo litahudumia wananchi zaidi ya elfu kumi na saba, Waziri amesema ni vyema wakandarasi kuacha visingizio visivyokuwa na ulazima katika kutekeleza miradi ya maji ambayo ina umuhimu mkubwa kwa wananchi

Aidha Waziri Aweso amesema, Wizara ya Maji haitakuwa kikwazo katika kukwamishwa kwa miradi hiyo ambayo inasaidia kutataua changamoto ya huduma ya maji kwa wananchi.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine