Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watafiti wasisitiza nchi ijenge viwanda

Tuesday , 2nd Aug , 2022

Watafiti Nguli nchini Tanzania wasema kwa sasa nchi inatakiwa kuzidi kuongeza viwanda vingi ili kuongeza thamani ya rasilimali za asilia nyingi zinazopatikana kwenye mikoa mbalimbali ikiwemo gesi asilia, madini, Kilimo, pamoja na mafuta ili kukuza uchumi wa Taifa.

Tafiti zinaonesha kuwa wachimbaji wadogo wa madini bado hawajaweza kunufaika kwenye sekta hiyo kutokana na kuuza madini ambayo hayajaongezewa thamani hali ambayo sasa imewaketisha pamoja watafiti Nguli kutoka Taasisi ya Repoa kutoa mafunzo Kwa wadau wa kutoka mashirika mbalimbali kuzitazama sera na namna gani kama nchi inaweza kunufaika na rasilimali za asilia.

Hata hivyo Dk Peter Kafumu  aliyewahi kuwa Kamishna wa madini nchini amesema ugumu wa sera unatokana katika kuweka mzani sawa kati ya wawekezaji wanaokuja pamoja na wananchi Kwa pamoja kuweza kunufaika na rasilimali ambazo zinatajwa kuisha endapo mipango thabiti itachelewa.

Kwa upande wao washiriki mafunzo hayo wamesema uwekezaji unatakiwa katika teknolojia,ushirikishwaji wa wananchi na watunga sera Hali itakayoondosha mikataba mibovu iliyokuwepo hali  itakayoongeza ajira.
Ili uchumi ukuwe watafiti wanashauri lazima sera ziwe Shirikishi Kwa rasilimali zinaisha.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine