Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Walalamika kukosa nafasi soko la Mwanga Kigoma

Tuesday , 12th Jul , 2022

Wanawake Wajasiriamali zaidi ya 100 waliokuwa wanafanya biashara ndogo ndogo za kuuza mboga mboga, matunda na Samaki katika soko la Mwanga Manispaa ya Kigoma Ujiji, wamelalamikia uongozi wa Manispaa hiyo kwa kukosa nafasi katika soko jipya

Wanawake Wajasiriamali zaidi ya 100 waliokuwa wanafanya biashara ndogo ndogo za kuuza mboga mboga, matunda na Samaki katika soko la Mwanga Manispaa ya Kigoma Ujiji, wamelalamikia uongozi wa Manispaa hiyo kwa kukosa nafasi katika soko jipya

Wamesema tangu wamesimama kufanya biashara baada ya soko la Mwanga kuvunjwa ili kupisha ujenzi wa soko la kisasa, bidhaa zao walizohifadhi nyumbani zimeharibika kwa kuoza kwa kukosa sehemu ya kuuzia.

Wameeleza kuwa kila siku wanashinda katika soko jipya lililoko eneo la Masanga Jirani na stendi kuu ya mabasi kusubiri viongozi wawagawie maeneo lakini wamekuwa wakiwakwepa.

Akizugumzia suala hilo Mwenyekiti wa Kamati ya Mipango Miji wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Kitongoni Himid Omary, amesema malalamiko ya wanawake hao yatawasilishwa kwa timu iliyoundwa ya halmashauri kwa ajili ya kushughulikia ugawaji wa maeneo.

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine