Picha ya Mapanch Bmb kulia na kushoto ni Mansu-li
"Najivunia kuwa karibu na wasanii waliotengeneza hichi kitu tunachofanya na njia tunazopita, sio vizuri kumuona Juma Nature Fid Q unawapita. Ningeshauri wangetenezewa maktaba ya historia ili wasanii wapya wajifunze mziki kupitia wao".
Mapanch Bmb amesema hivyo baada ya kushirikishwa kwenye kazi mpya ya Mansu-li inayoitwa siku yetu.