
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani wa Kenya, Karanja Kibicho
Waziri Kibicho amesema nuchaguzi huo hautakuwa na fujo kwani maafisa hao watatumwa katika vituo vyote vya kupigia kura ili kuhakikisha zoezi hilo linaendeshwa bila matatizo.
"Tumejitayarisha kikamilifu kwa uchaguzi na hakutakuwa na fujo," amesema Dkt Kibicho.